Category

HABARI KIBAJUNI

Home » HABARI KIBAJUNI

Waan­damana kupinga ubaguzi Afrika Kusini

 - 

Maelfu ya raia wa Afrika Kusini wanaan­damana kupinga wimbi la visa vya hivi ma­juzi vya masham­bu­lizi dhidi ya raia wa ki­geni. Miku­tano mikubwa ime­an­daliwa katika mji mkuu Jo­han­nes­burg na katika mji wa Port Eliz­a­beth ulioko kusini mwa nchi hiyo am­bao ul­ishuhu­dia... More »

17 wauawa katika sham­bu­lizi la Al Shabaab

 - 

Watu 17 wameripotiwa ku­uawa na wengine 20 ku­jeruhiwa vibaya wakati wanamgambo wa Ki­is­lamu wa Al Shaabab wali­posham­bu­lia ma­jengo ya wiz­ara ya elimu mjini Mo­gadishu,So­ma­lia. Mwan­dishi wa BBC Mo­hammed Moal­imu,ame­sema kuwa wavamizi hao walilipua bomu lililotegwa n... More »